WANAWAKE TUNAWEZAAAAAA.....

Kila siku tunaambiwa tujikwamue, unaweza kuwa na kisomo lakini kwa bahati mbaya hujapata kazi, haiingii akilini ukikaa tu nyumbani ukisubiri kazi ikufuate. Amina anasherehekea miaka kadhaa ya kuzaliwa, anasoma UDSM kwa sasa, lakini pia amezindua kampuni yake ya kufanya usafi. Ni hatua kubwa kwake sanaaaaaaa! Wengine watahoji he! hiyo nayo hatua kubwa? ndio ni hatua kubwa...we unayo?????????
Angalia picha kwa maelezo zaidi.....ukikerekwa ipotezee...

Birthday girl amina(wa pili kushoto) akaingia kwa mbwembwe

  Kampuni nayo ikazinduliwa..Brilliant Cleaners Co. Ltd
Mpango mzima usafiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

 Dada mtu huyu ni one of directors wa kampuni....

MC wa shughuli hapo shoto ni noumarrrrrr

Hayawi hayawi yakawa...tukatambulishwa kwa shemejii

Na mengine yakaendelea...












 Na habari ikaishia hapo!

Comments

joycediddy said…
my congratulations goes to ma galz Amina and Azizi for this big step,god will lead u to success
Anonymous said…
This comment has been removed by a blog administrator.
Anonymous said…
This comment has been removed by a blog administrator.
Anonymous said…
This comment has been removed by a blog administrator.
Anonymous said…
This comment has been removed by a blog administrator.
Anonymous said…
This comment has been removed by a blog administrator.
Anonymous said…
This comment has been removed by a blog administrator.