HELLOW WADAUZZZZZZ!

Majukumu haya jamani duuuuh! yamenikaba mpaka nikakosa muda wa kuwahudumia! Its all good lakini, am back kwa kudra za mwenyezi Mungu, niendelee kulisongesha kama kawaida.Utafkiri nilienda Uingereza kwenye michezo ya Olympics kumbe wapi! Utafkiri nilikwenda bungeni kushuhudia michango ya wabunge live live kumbe wapi!Utafkiri mfungo ulinikaba sana kumbe wapi! Ni hapahapa bongo na ubize juu jamani loh! Nimewamissijeee! Acha tu!( Kama nakuona mkereketwa namba moja wa blog unavyoguna..nani kakumiss) hahahahahahahaha! PEACE AND LOVE!

Comments