BAADHI YA MARAIS WANAOTAJWA KUWA MADIKTETA NA KUKALIA KITI KWA MIAKA MINGI AFRIKA.....

 
  Teodoro Obiang- Rais wa Equatorial Guinea toka mwaka 1979
 

President José Eduardo dos Santos-Rais wa Angola toka mwaka 1979

 
Idriss Déby -Rais wa Chad toka mwaka 1990
                                     

King Mswati III- Rais wa Swaziland toka mwaka 1986

 Ismaïl Omar Guelleh- Rais wa Djibouti toka 1999
 President Ali Bongo Ondimba- Rais Gabon, alirithi mikoba baada ya baba yake aliyeongoza toka mwaka 1967-2009 kufariki.
 Robert Mugabe-Rais wa Zimbabwe toka mwaka 1987
  Isaias Afewerki-Rais wa Eritrea toka mwaka 1993
 Yoweri Museveni-Rais wa Uganda
 Denis Sassou Nguesso- Rais wa Jamuhuri ya watu wa Congo(Brazzaville) Amekuwa rais mara mbili tofauti 1979-1992 na mwaka 1997 tena.
 President Omar al-Bashir-Rais wa Sudan, madarakani toka mwaka 1989
 Paul Biya-Rais wa Cameroon. Madarakani toka mwaka 1982
 Mohamed Ould Abdel Aziz-Rais wa Mauritania

Comments