MEMBE OYEEEEEEE!!! MASHOGA, MASHOGA, MASHOGA!!!!!!!!!!!!!

Baada ya Gumzo zito la tamko la Uingereza dhidi ya Tz....Waziri wa mambo ya nje na Ushirikiano wa kimataifa Mh. Bernad Membe amesema Tanzania iko tayari kukosa misaada kutoka kwa nchi wahisani ,ambazo zimetishia kusitisha misaada yake kwa nchi yetu ikiwa haitakubali kuhalalisha ndoa za jinsia moja maarufu kama 'za mashoga'

Amezungumza leo na waandishi wa habari kuwa kukubali ndoa za mashoga ni sawa na kuvunja sheria ya nchi, ya mwaka 1971.

Mungu ibariki Tanzania na watu wake. Manake kwa umaskini wa nchi, sasa tunapewa dharau live live, na hiyo ni kwa sababu Mila na desturi zetu haziruhusu kabisa!!!

Jax!!

Comments