YA WEMA SEPETU NI HIVIHIVI TU AU THERE IS SOMETHING BEHIND SCENE??????


Hivi ni kweli akawa anapenda mambo yake yanavyowekwa hadharani kuhusu mahusiano yake? Naipenda kazi yake kwa asilimia kubwa, yanayomuandama sidhani kama kuna yeyote angependa hayo yamtokee.Mbaya zaidi ni kuhusu uhusiano aliokuwa nao na Chaz Baba wa Twanga Pepeta.Mambo yao yamekuwa mazito na sasa ni kama bifu baina yao.Wakipata washauri wazuri wakawaelewa, i hope kila kitu kitakwenda sawa!!

Comments

Anonymous said…
kiukweli wanahitaji ushauri.this time they have gone too far!!
Anonymous said…
im sure wema atakuwa hafagilii mambo yake yawe yanawekwa public,its a pit wat is happenin to her now (case wit bob junior,hope ataimaliza fresh wit no sanction